MwanzoHUF / USD • Sarafu
add
HUF / USD
Bei iliyotangulia
0.0028
Habari za soko
Kuhusu Forint ya Hungaria
The forint is the currency of Hungary. It was formerly divided into 100 fillér, but fillér coins are no longer in circulation. The introduction of the forint on 1 August 1946 was a crucial step in the post-World War II stabilisation of the Hungarian economy, and the currency remained relatively stable until the 1980s. Transition to a market economy in the early 1990s adversely affected the value of the forint; inflation peaked at 35% in 1991. Between 2001 and 2022, inflation was in single digits, and the forint has been declared fully convertible. In May 2022, inflation reached 10.7% amid the Russian invasion of Ukraine and economic uncertainty. As a member of the European Union, the long-term aim of the Hungarian government may be to replace the forint with the euro, although under the current government there is no target date for adopting the euro. WikipediaKuhusu Dola ya Marekani
Dola ya Marekani ni sarafu rasmi ya Marekani, iliyoanzishwa mwaka 1792 na kutolewa na Hifadhi ya Shirikisho. Ni sarafu kuu ya akiba duniani, inayotumika sana katika biashara ya kimataifa, bidhaa, na masoko ya fedha za kigeni. Mbali na Marekani, nchi kama Ecuador, El Salvador, na Zimbabwe pia hutumia dola ya Marekani kama sarafu yao rasmi.
Dola ya Marekani inapatikana kwa noti za dola 1, 2, 5, 10, 20, 50 na 100. Kuna pia sarafu ya dola 1.
Dola moja ina senti 100. Senti huitwa pia "penny" nchini Marekani. Kuna sarafu za nusu dolar, robo dolar na sarafu za senti 10, 5 na 1.
Hadi mwaka 1969 noti ya dolar ya Marekani ilikuwa na ahadi ya kwamba serikali ya Marekani itampatia kila mtu dhahabu kulingana na thamani ya dola hizi akipenda kuzibadilisha.
Usawa huu na thamani ya dhahabu ulifutwa. Leo hii dola ya Marekani ni pesa ya kuiamini serikali kama pesa zote. Maana yake watumiaji husadiki ya kwamba serikali haitachapisha dola kushinda uwezo wa uchumi na thamani ya bidhaa zilizopo nchini Tanzania.
Tangu mwisho wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia dola ya Marekani imekuwa pesa kuu duniani na sehemu kubwa ya biashara ya kimataifa hukadiriwa kwa dola hizo. Wikipedia